Sunday, July 16, 2017

MWANAHESABU MSOMI RAIA WA IRAN AMEFARKKI UKO NCHINI MAREKANI.

Maryam Mirzakhani, mwanamke wa kwanza kushinda tuzo la hesabu la Fields Medal amefariki nchini Marekani.

Professor Mirzakhan mwenye umri wa miaka 40 ambaye ni professor katika chuo cha Stanford, alikuwa akiugua ugonjwa wa Saratani ya matiti ambayo ilisambaa hadi kwa mifupa yake.

Alipewa jina mshindi wa Nobel ya hesabu. Tuzo la Fields Medal hutolewa baada ya kila miaka minne kwa kati wa wasomi wa hesabu wawili na wanne walio chini ya miaka 40

No comments:

Post a Comment